MKUU WA MKOA WA MWANZA MHANDISI. GABRIEL ROBERT AFUNGUA MAFUNZO ENDELEVU YA WATAALAM (CPD) - MTAZAMO MEDIA

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Thursday, 2 December 2021

MKUU WA MKOA WA MWANZA MHANDISI. GABRIEL ROBERT AFUNGUA MAFUNZO ENDELEVU YA WATAALAM (CPD)

Mkuu Wa Mkoa Wa Mwanza Mhandisi Gabriel Robert  akifungua Mafunzo endelevu ya Wataalam (CPD) ya Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi Tarehe 2 Desemba, 2021 Kwenye Ukumbi wa mikutano wa chuo cha mafunzo cha Benki Kuu, Mwanza.

Mafunzo hayo ya siku mbili kwaajili ya kuwajengea uwezo wataalam katika sekta ya ujenzi kwenye fani za Wabunifu wa Majengo,Wakadiriaji wa Majenzi,Wasimamizi wa Majengo,Wasimamizi wa Miradi na Wasamabazaji wa Vifaa vya Ujenzi.

PICHA ZOTE NA PHILEMON SOLOMON-MWANZA

Msajili wa Bodi hiyo Arch. Edwini Nnunduma akiwasilisha hotuba yake ya ufunguzi wa Mafunzo endelevu ya Wataalam (CPD) ya Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi Kwenye Ukumbi wa mikutano wa chuo cha mafunzo cha Benki Kuu, Mwanza.
Mkaguzi wa Ndani kutoka Bodi  ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi ( AQRB) Bw. Ezekyeli Stiven akitoa mada wakati wa mafunzo hayo.

Msajiri wa Bodi hiyo Arch. Nnunduma akifurahia jambo wakati Mkuu Wa Mkoa Wa Mwanza Mhandisi. Gabriel Robert  akifungua Mafunzo endelevu ya Wataalam (CPD) ya Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi Tarehe 2 Desemba, 2021  Mwanza.

 wataalam katika sekta ya ujenzi kwenye fani za Wabunifu wa Majengo,Wakadiriaji wa Majenzi,Wasimamizi wa Majengo,Wasimamizi wa Miradi na Wasamabazaji wa Vifaa vya Ujenz.
Msajiri wa Bodi hiyo Arch. Nnunduma (kushoto mwenye tai) akisalimiana  na Mkuu Wa Mkoa Wa Mwanza Mhandisi. Gabriel Robert alipo wasili kwaajili ya kufungua Mafunzo endelevu ya Wataalam (CPD) ya Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi . Mwanza
Msajili wa Bodi hiyo Arch. Nnunduma akimtambulisha  Mkuu Wa Mkoa Wa Mwanza Mhandisi. Gabriel Robert wajili wasaidizi alipo wasili kwaajili ya kufungua Mafunzo endelevu ya Wataalam (CPD). 
Wajili wasaidizi wakiwa wamejipanga kwaajili ya kumpokea Mkuu Wa Mkoa Wa Mwanza Mhandisi. Gabriel Rober.
Msajiri wa Bodi hiyo Arch. Edwini Nnunduma, Mkuu Wa Mkoa Wa Mwanza Mhandisi. Gabriel Robert  wakiwasili katika ukumbi.
wataalam katika sekta ya ujenzi kwenye fani za Wabunifu wa Majengo,Wakadiriaji wa Majenzi,Wasimamizi wa Majengo,Wasimamizi wa Miradi na Wasamabazaji wa Vifaa vya Ujenzi. wakiwa kwenye picha ya pamoja na Msajiri wa Bodi hiyo Arch. Edwini Nnunduma.
Msajiri wa Bodi hiyo Arch. Edwini Nnunduma (kushoto) pamoja na washiriki wa mafunzo.

Mwanasheria. kutoka Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi (AQRB) Ibrahim Mohamed akiwasilisha mada yake wakati wa mafunzo hayo.


 Msajiri wa Bodi hiyo Arch. Edwini Nnunduma akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya ufunguzi wa mafunzo hayo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages