MHE. RAIS SAMIA AHUTUBIA KILELE CHA MAADHIMISHO YA MIAKA 45 YA CCM AZINDUA KADI YA KIELETRONIC YA CCM - MTAZAMO MEDIA

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Saturday, 5 February 2022

MHE. RAIS SAMIA AHUTUBIA KILELE CHA MAADHIMISHO YA MIAKA 45 YA CCM AZINDUA KADI YA KIELETRONIC YA CCM

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Viongozi mbalimbali, Wanachama wa Chama hicho pamoja na Wananchi wa Mkoa wa Musoma katika Kilele cha Maadhimisho ya Miaka 45 ya kuzaliwa Chama cha Mapinduzi CCM yaliyofanyika katika Uwanja wa Karume, Musoma  Mkoani Mara 05 Februari, 2022.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akibonyeza kitufe kwenye Kompyuta kuzindua Rasmi Kadi za Kieletroniki za Chama cha Mapinduzi CCM katika Kilele cha Maadhimisho ya Miaka 45 ya kuzaliwa Chama cha Mapinduzi CCM yaliyofanyika katika Uwanja wa Karume, Musoma  Mkoani Mara 
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimkabidhi Kadi ya Kieletroniki Balozi wa CCM Paul Masinde kutoka Musoma Vijijini mara baada ya kuzindua zoezi hilo la Kadi.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea mfano wa  Kadi yake namba 1 ya Kieletroniki ya Chama Cha Mapinduzi CCM kutoka kwa Katibu wa Chama hicho Ndugu Daniel Chongolo mara baada ya kuzindua Rasmi zoezi la ugawaji wa Kadi hizo katika Kilele cha Maadhimisho ya Miaka 45 ya kuzaliwa Chama cha Mapinduzi CCM yaliyofanyika katika Uwanja wa Karume, Musoma  Mkoani Mara

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages