Subscribe Us

header ads

MHE. SAMIA SULUHU HASSAN AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA MAGU MKOANI MWANZA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa Magu Mkoani Mwanza  tarehe 04 Februari, 2022 wakati akielekea Mkoani Mara kwa ajili ya ziara ya kikazi ya siku nne.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa Lamadi Mkoani Simiyu  tarehe 04 Februari, 2022 wakati akielekea Mkoani Mara kwa ajili ya ziara ya kikazi ya siku nne.
 Wananchi wakishangilia mara baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kuwasili katika mji wa Bunda mkoani Mara.
 Kikundi cha ngoma za asili cha Kiabakari Mkoani Mara kikitumbuiza mara baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kuwasili katika eneo hilo  tarehe 04 Februari, 2022. 

PICHA NA IKULU

Post a Comment

0 Comments