Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na viongozi mbalimbali pamoja
na Wananchi katika Maadhimisho ya Kitaifa ya Kupiga Vita Matumizi na Biashara
ya Dawa za Kulevya Duniani ambayo Kitaifa yamefanyika Uwanja wa Sheikh Amri
Abeid Jijini Arusha tarehe 25 Juni, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea Tuzo ya Kutambua Mchango wake
kwenye Mapambano dhidi ya dawa za Kulevya nchini kutoka kwa Waziri Mkuu Mhe.
Kassim Majaliwa aliyeiwasilisha kwa niaba ya Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana
na Dawa za Kulevya (DCEA) katika Maadhimisho ya Kitaifa ya Kupiga Vita Matumizi
na Biashara ya Dawa za Kulevya Duniani ambayo Kitaifa yamefanyika Uwanja wa
Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha tarehe 25 Juni, 2023.
PICHA NA IKULU
0 Comments