Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akikaribishwa Ikulu ya Lusaka na Mwenyeji
wake Rais wa Zambia Mhe. Hakainde Hichilema kwa ajili ya kuhudhuria Sherehe za
miaka 59 ya Uhuru wa nchi hiyo tarehe 24 Oktoba, 2023.
Kikundi cha ngoma kutoka
Lusaka kikitumbuiza katika Sherehe za miaka 59 ya Uhuru wa Taifa la Zambia
katika viwanja vya Ikulu ya Nchi hiyo tarehe 24 Oktoba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama kwa ajili ya heshima ya
Wimbo wa Taifa katika Sherehe za miaka 59 ya Uhuru wa Zambia tarehe 24 Oktoba,
2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama na Mwenyeji wake Rais wa
Zambia Mhe. Hakainde Hichilema pamoja na viongozi wengine wakati Wimbo wa Taifa
wa Tanzania ukiimbwa katika Sherehe za miaka 59 ya Uhuru wa Zambia tarehe 24
Oktoba, 2023.
0 Comments