Tuesday 24 October 2023

Majaliwa afungua Kongamano la Madereva wa Serikali

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza katika Kongamano la Chama cha Madereva wa Serikali Tanzania lililofanyika kwenye ukumbi wa Hoteli ya Morena mkoani Morogoro, Oktoba 24, 2023

 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment