Subscribe Us

header ads

MAKAMU WA RAIS AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA JENGO LA OFISI YA MAKAMU WA RAIS - MTUMBA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisikiliza maelezo kutoka kwa Meneja Mradi wa Ujenzi wa Jengo la Ofisi ya Makamu wa Rais - Muungano na Mazingira Mhandisi Kanali Saul Chiwanga wakati alipotembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo hilo lililopo Mtumba Mkoani Dodoma tarehe 31 Julai 2024.

 


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akizungumza na Viongozi na Menejimenti ya Ofisi ya Makamu wa Rais - Muungano na Mazingira mara baada ya kukagua ujenzi wa Jengo la Ofisi hiyo lililopo Mtumba Mkoani Dodoma. Tarehe 31 Julai 2024.


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi pamoja na Menejimenti ya Ofisi ya Makamu wa Rais - Muungano na Mazingira mara baada ya kukagua ujenzi wa Jengo la Ofisi hiyo lililopo Mtumba Mkoani Dodoma. Tarehe 31 Julai 2024.

 

 

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi pamoja na Menejimenti ya Ofisi ya Makamu wa Rais - Muungano na Mazingira mara baada ya kukagua ujenzi wa Jengo la Ofisi hiyo lililopo Mtumba Mkoani Dodoma. Tarehe 31 Julai 2024.

 

 

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisikiliza maelezo kutoka kwa Meneja Mradi wa Ujenzi wa Jengo la Ofisi ya Makamu wa Rais - Muungano na Mazingira Mhandisi Kanali Saul Chiwanga wakati alipotembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo hilo lililopo Mtumba Mkoani Dodoma tarehe 31 Julai 2024.



Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akikagua maendeleo ya ujenzi wa Jengo la Ofisi ya Makamu wa Rais - Muungano na Mazingira lililopo Mtumba Mkoani Dodoma tarehe 31 Julai 2024.

 


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisikiliza maelezo kutoka kwa Meneja Mradi wa Ujenzi wa Jengo la Ofisi ya Makamu wa Rais - Muungano na Mazingira Mhandisi Kanali Saul Chiwanga wakati alipotembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo hilo lililopo Mtumba Mkoani Dodoma tarehe 31 Julai 2024.


Muonekano wa majengo yanayojengwa


 

Post a Comment

0 Comments