Random Posts

MHE. RAIS DKT. SAMIA AZUNGUMZA NA WANANCHI WA NGERENGERE NA MOROGORO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwapungia mkono wananchi wa Ngerengere Mkoani Morogoro mara baada ya kuwasili kwa Treni ya Kisasa (SGR) wakati akitokea Jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akishuka kwenye Treni ya Kisasa (SGR) katika Stesheni ya Ngerengere Mkoani Morogoro. 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwapungia mkono wananchi wa Ngerengere kabla ya kupanda Treni ya Kisasa (SGR) na kuelekea Mkoani Morogoro.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wananchi wa Ngerengere Mkoani Morogoro wakati akielekea Dodoma kwa Usafiri wa Treni ya Kisasa ya (SGR). Mhe. Rais Dkt. Samia amezindua Rasmi huduma za Usafiri wa Treni hiyo kuanzia eneo la Kilometa 0 Stesheni Jijini Dar es Salaam - Morogoro hadi Dodoma Agosti 1, 2024.

Post a Comment

0 Comments