Subscribe Us

header ads

MHE. RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA RAIS WA BARAZA LA TAIFA NA SPIKA WA BUNGE LA JAMHURI YA CUBA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Rais wa Baraza la Taifa na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Cuba Bw. Esteban Lazo Hernandez, wakati alipowasili Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 06 Machi, 2025.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Rais wa Baraza la Taifa na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Cuba Bw. Esteban Lazo Hernandez, mara baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 06 Machi, 2025.

Post a Comment

0 Comments