Random Posts

KAMPUNI YA MABIBO BEER YAWAANDALIA CHAKULA MADAKTARI BINGWA KUTOKA INDIA

 
1     Mshauri wa Kimataifa wa Biashara Kampuni ya Mabibo Beer Wines and Spirits Ltd,  James Rugemalira (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, wakati akiwatambulisha madaktari bingwa kutoka India ambao wapo nchini kwa ajili ya kutoa matibabu. Kulia ni Daktari Bingwa wa Macho kutoka Hospitali ya Narayana, Dk. Gagan Dudeja, Dk. Suhel Hassani ambaye ni bingwa wa magonjwa wa koo na shingo na Mwenyekiti Mtendaji wa Hospitali ya Bangarne ya India, Jyotsna Thajur
 Mmoja wa maofisa wa Hospitali ya Sanitas, Suresh (kulia), akitoa neon kwenye hafla hiyo. Kushoto ni Mwenyekiti wa Kampuni ya Mabibo Beer Wines and Spirits Ltd, Benedicta Rugemalira na Meneja Biashara wa Hospitali ya Sanitas, Sarin
 Mgeni mualikwa Balozi Shengoma Lawrence, akiuliza swali kwa madaktari bingwa hao kutoka India
 Mhariri Mkuu wa Kituo cha Televisheni cha Channel Ten, Bernadina Chahali (kushoto), akiuliza swali kwa madaktari hao. Kushoto ni Mwenyekiti wa Kampuni ya Mabibo Beer Wines and Spirits Ltd, Benedicta Rugemalira na Meneja Biashara wa Hospitali ya Sanitas, Sarin na mmoja wa maofisa wa Hospitali ya Sanitas, Suresh




Post a Comment

0 Comments