Random Posts

NONDA NA FEZA KUIWAKILISHA TANZANIA SHINDANO LA BIG BROTHER AFRICA!!

Ammy Nonda ataiwakilisha Tanzania katika shindano la Bog Brother Africa lililozinduliwa jana usiku. Hapa Tanzania uzinduzi huo ulifanyika usiku wa jana katika ukumbi wa Samaki Samaki City Centre maeneo ya Posta jijini Dar es salaam Tanzania - Feza 
Mwanadada Feza Kessy naye ataiwakilisha Tanzania katika shindano la Big Brother Africa mwaka huu

Post a Comment

0 Comments