Random Posts

TAZAMA PICHA ZA AJALI YA HELKOPTA INAYOSEMEKANA KUWABEBA VIONGOZI WAKUBWA WA NCHI


Kwa mujibu wa taarifa ambazo mtandao huu imezipata katika mitandao ya kijamii inasemekana  MAKAMU wa Rais Dk. Gharib Bilal, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadick, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova na mpiga picha wa TBC, George Kasembe wamenusurika kifo baada ya helkopta waliyokuwa wanasafiria kupata ajali Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere.
Tunazidi kufuatilia tukio hili PICHA NA KANDILI YETU LEO
Bofya hapa kwa Taarifa zaidi