Random Posts

RAIS KIKWETE AKARIBISHA MAKAMPUNI MAKUBWA KUJA KUWEKEZA NCHINI KATIKA SEKTA YA NISHATI NA UTALII.



Rais Jakaya Kikwete ambaye alikuwa mzungumzaji mkuu katika Kongamano la Kuvutia Wawekezaji nchini, lililofanyika juzi Washington DC, Marekani, Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (wa pili kulia), Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu na Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Mark Childress (kushoto) wakifuatilia mada mbalimbali za mkutano huo