Na Bernard James wa www.mtamomedia.blogspot.com
Marekani_Jeshi la
Anga limefanya shambulizi zito ncnini
Syiria dhiya ya Kundi la Dola ya kiislam –ISIS-,Shambulizi hilo lililofanywa
katika miji iliyopo mipakani na nchi ya Uturuki ililenga kuliangamiza na
kulinyong`onyesha kundi hilo ,kundi hilo limekuwa likilenga na
kuwashambulia hasa jamii ya kurudishi wanaoishi Iraqi na Uturuki,kitu ambacho
kimeilazimu Marekani kutoa Siraha kwa waKurudi ikiwa nipamoja na kuwapa mafunzo
na mbinumbalimbali kukabiliana na wapiganaji wa Isis,
Wakurudi sasa wako
mstali wa mbele katika vita ,vinavyoendelea na kundi la ISIS linapata upinzani mzito,na Wakurudi wameweza kuwazibiti kundi la ISIS na kulifanya kurudi nyuma,Isis imekuwa katika
wakati mgumu sana katika harakati zao za kuiangusha Serikali ya Iraqi
kamawalivyozamilia hapo mwanzo.Mashambulizi ya anga yanayofanywa na marekani dhidi ya kundi hilo limefanya ISIS kukimbia na kujificha huku wakiwa wamepoteza wapiganaji wengi huku zana zao za kivita zikiwa zimeteketezwa,jumamosi hii 28/9/2014 imekuwa mbaya kwa kunjdi hilo baada ya kufanyika mashambulizi mazito ya anga,
Wakati huohuo ,zaidi
ya wakimbizi 100.000 wamevuka mpaka na kuingia Uturuki kutoka Siria kukimbia
mapigano yanayoendelea dhidi ya Majeshi ya ushilika yanayo-ongozwa na Marekani
zidi ya kundi la Ki-islaam Isis dola ya ki-islaam
Mkazi wa jimbo la kfredria Idlib akiangalia mabaki ya nyumba yake,baada ya jeshi la anga la Marekani na washirika wake kuiteketeza,hii ni katika harakati ya kuliangamiza kundi la isis
Manowary ya jeshi la Marekani ikirusha kombola aina ya Tomahawk Cruise kuelekea zilipo ngome za kundi la Isis ,Siria na Iraqi.
Kiwanda cha kusafisha mafutaJeribe modular kilichokuwa kikishikiliwa na kundi la ISIS ,kabla ya kushambuliwa kushoto,kulia baada ya kushambulia na ndege za Marekani 28,9,2014
Kombola aina ya Tomahawk cruise likivurumishwa kutka manowari ya Marekani iliyopo katika bahari nyeusi,makombola haya ni ya kisasa ,na yanaelekezwa na satalait zilizopo angani kurenga shabaha,sehemu iliyokusudiwa,




0 Comments