Random Posts

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AKUTANA NA RAIS WA TEC

 Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akisalimiana na Mwenyekiti wa Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC), Askofu Tercius Ngalekumtwa kabla ya mazungumzo Ofisini kwake jijini Dar es salaam Agosti 18, 2016. Kushoto ni Askofu wa Jimbo Katoliki la Bunda, Renatus Nkwande
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa   akisalimiana na Askofu wa Jimbo Katoliki la Bunda, Renatus Nkwande (katikati) na Mwenyekiti wa Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC), Askofu Tercius Ngalekumtwa kabla ya mazungumzo yao , Ofisini kwake jijini Dar es alam Agosti 18, 2016.
  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mwenyekiti wa Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC), Askofu Tercius Ngalekumtwa  (kushoto kwake), Askofu Renatus Nkwande wa Jimbo Katoliki la Bunda (wapili kulia)  na katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC), Padri Raymond Saba (kulia), Ofisini kwake jijini Dar es salaam Agosti 18, 2016.

 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)