![]() |
| Mwili wa Marehemu Spika Mstaafu Mhe. Samwel Sitta Ukiwasili katika viwanja vya Karimjee kwa ajili ya utoaji wa heshima za mwisho kabla ya kusafirishwa kwenda Bungeni Mjini Dodoma na Hatimaye Mkoani Tabora kwa ajili ya Maziko. |
![]() |
Baadhi ya waombolezaji wakiwa katika viwanja vya
Karimjee kwa ajili ya utoaji wa heshima za mwisho kwa Mwili wa Marehemu Spika
Mstaafu Mhe. Samwel Sitta kabla ya kusafirishwa kwenda Bungeni Mjini Dodoma na
Hatimaye Mkoani Tabora kwa ajili ya Maziko.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Magufuli akiwasili katika viwanja vya Karimjee kwa ajili ya utoaji wa
heshima za mwisho kabla ya kusafirishwa kwenda Bungeni Mjini Dodoma na Hatimaye
Mkoani Tabora kwa ajili ya Maziko, pembeni ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam
Mhe. Paul Makonda.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Magufuli(Katikati), Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan(Mwenye shungi)
Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Mhe. Benjamin Mkapa (wa mwisho kushoto) na Makamu
wa Pili wa Rais Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Balozi Seif alli Idd (wa
mwisho kulia) wakifuatilia idaba ya kuuaga Mwili wa Marehemu Spika Mstaafu Mhe.
Samwel Sitta katika viwanja vya Karimjee kwa ajili.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Utumishi Mhe.
Angela Kairuki akitoa salamu za serikali wakati wa shughuli ya utoaji heshima
za mwisho kwa Mwili wa Marehemu Spika Mstaafu Mhe. Samwel Sitta kabla ya
kusafirishwa kwenda Bungeni Mjini Dodoma na Hatimaye Mkoani Tabora kwa ajili ya
Maziko.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Magufuli akiwaeleza jambo Makamu wa Pili wa Rais Serikali ya Mapinduzi ya
Zanzibar Balozi Seif alli Idd(katikati) na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt.
Jakaya Mrisho
Kikwete.
![]() |
| Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt . John Pombe Magufuli akitoa heshima zake za mwisho kwa aliyekuwa Spika Mstaafu Marehemu Samwel John Sitta alipoongoza mamia ya waombolezaji kuuaga mwili wa kiongozi huyo mkongwe katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam leo Oktoba 11, 2016 |
Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho
Kikwete akitoa heshima za mwisho kwa Mwili wa Marehemu Spika Mstaafu Mhe.
Samwel Sitta kabla ya kusafirishwa kwenda Bungeni Mjini Dodoma na Hatimaye
Mkoani Tabora kwa ajili ya Maziko.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Magufuli akisalimiana na waombolezaji wakati wa shughuli za utoaji heshima
kwa Mwili wa Marehemu Spika Mstaafu Mhe. Samwel Sitta.
Baadhi
ya Viongozi wa Serikali na Viongozi wastaafu wakiwapa pole ndugu na
waombolezaji wakati wa shughuli za utoaji heshima kwa Mwili wa Marehemu Spika
Mstaafu Mhe. Samwel Sitta.
PICHA
NA IKULU




















0 Comments