Random Posts

ALLY KIBA,GABO WAZOA TUZO ZA EATV 2016

Kutoka katika tukio linaloendelea muda huu ndani ya Mlimani City katika utoaji wa tuzo za EATV 2016. Washindi wa tuzo hizo: 
Mwanamuziki Bora Chipukizi ni Man Fongo huku tuzo ya Kundi Bora la Mwaka ikichukuliwa na kundi la Navy Kenzo. 
Kwa upande wa muigizaji Bora wa kike imeenda kwa Msanii Chuchu Hans na Msanii Bora wa kiume ikinyakuliwa na Gabo. 
Kwa upande wa Mwanamuziki Ali Kiba ameibuka mshindi wa wimbo bora wa Aje,pamoja na nyimbo bora ya  mwaka.mpaka sasa hivi Ally kiba na gabo ndio wasanii waliochukua tuzo mbili, 
dsc_0072dsc_0077dsc_0080dsc_0083dsc_0085dsc_0087dsc_0089dsc_0091dsc_0094dsc_0098dsc_0101dsc_0103dsc_0107dsc_0094dsc_0113dsc_0117dsc_0120dsc_0127dsc_0133dsc_0144dsc_0133dsc_0137dsc_0152dsc_0155dsc_0162dsc_0179dsc_0190Msanii Darasa akifanya vitu jukwaani ..ameangusha moja ya bonge la showdsc_0189dsc_0199Baadhi ya wafuatiliaji wakiwa meza za mbele ndani ya ukumbi wa Mlimani Citydsc_0201
Tukio la tuzo likiendelea..

Post a Comment

0 Comments