Random Posts

WATANZANIA 12 WANASHIKILIWA NCHINI MSUMBIJI

Mkuu wa Wilaya ya Tunduru JUMA HOMERA akiwa ameongozana na kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya hiyo wakitembea pembezoni mwa mto ruvuma ambao katika kijiji cha wenje  ambapo mto huo unatenganisha Tanzania na Nchi ya Msumbiji.

"Watanzania  ambao wanashikiliwa nchini MSUMBIJI ni wakazi wa kijiji cha Mkapunda na wenje wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma ambapo vijiji hivyo vipo mpakani na kijiji cha Luimila cha wilaya ya Niassa nchini Msumbiji, Vijiji hivyo vya Tanzania na Msumbiji vinatenganishwa na Mto Ruvuma. Kwa undani wa habari hii angalia video yake hapo chini ".

Post a Comment

0 Comments