Naibu Waziri wa
Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Edwin Ngonyani (Kushoto), akisikiliza
maoni kutoka kwa wananchi wa kijiji cha Kilosa Mpepo katika mkutano na wanakiji
hao mara baada ya kukagua barabara kuu ya kitaifa (Trunk Roads) ya
Mikumi-Mahenge, Lupilo-Kilosa Mpepo.
Naibu Waziri wa
Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Edwin Ngonyani (Kushoto) akitoa
ufafanuzi kwa wanakijiji wa Kilosa Mpepo, Wilayani Malinyi Mkoa wa Morogoro,
kuhusu hatua ya Ujenzi wa barabara kuu ya kitaifa (Trunk Roads) ya
Mikumi-Mahenge, Lupilo-Kilosa Mpepo hadi Lumecha.
Naibu Waziri wa
Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Edwin Ngonyani akitoa ufafanuzi kwa wanakijiji
wa Kilosa Mpepo wilayani Malinyi, Mkoa wa Morogoro, kuhusu hatua ya Ujenzi wa
Barabara ya barabara kuu ya kitaifa (Trunk Roads) ya Mikumi-Mahenge,
Lupilo-Kilosa Mpepo hadi Lumecha.
Naibu Waziri wa
Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Edwin Ngonyani akisalimiana na Mmoja
wa wazee wa kijiji cha Kilosa Mpepo wilayani Malinyi, Mkoa wa Morogoro mapema
kabla ya kuanza mazungumzo na wanakijiji hao.
Picha na Wizara ya
Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano.




0 Comments