Random Posts

CHAMA CHA WANANCHI (CUF) KIMEWASHUKURU WATANZANIA


 Naibu Mkurugenzi wa Habari wa CUF, Abdull Kambaya (kulia) akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi ya chama hicho zilizopo buguruni jijini Dar es Salaam wakati akitoa shukrani kwa Watanzania waliokipigia kura Chama cha Wananchi (CUF),katika uchaguzi mdogo wa marudio ya  udiwani uliomalizika Januari 22 mwaka huu (kushoto), Kaimu Mkurugenzi wa Mipango na Uchaguzi Taifa wa CUFMneke Jafar.

 Waandishi wa habari wakiwa katika mkutano huo.

Baadhi ya wanachama wa CUF waliohudhuria mkuatano huo.

Post a Comment

0 Comments