Mkuu
wa mkoa wa Arusha,Mrisho Gambo akizindua mazoezi ya viungo kwa kuonyesha kwa
mfano kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid kuitikia wito wa Makamu wa
Rais,Mh.Samia Suluhu Hassan wa kufanya mazoezi kila wiki ya pili ya mwezi kwa
lengo kuzuia magonjwa yasiyoambukizwa na kuiweka miili katika hali ukakamavu.
Mkuu
wa mkoa wa Arusha,Mrisho Gambo akipiga Push-Up za kutosha.
Kamanda
wa Polisi mkoa wa Arusha,Charles Mkumbo(kushoto) na Mkuu wa wilaya ya
Arusha,Gabriel Daqarro nao hawakua nyumba katika kuonyesha ukakamavu wao.Picha
zote na Filbert Rweyemamu
Mkuu
wa mkoa wa Arusha,Mrisho Gambo(katikati) akiongoza mazoezi mepesi akiwa na
viongozi wengine.
|
Umati uliojitokeza kushiriki
mazoezi ya viungo kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha.
|
Kamanda
wa Polisi mkoa wa Arusha,Charles Mkumbo(kati)akipasha pamoja na wananchi
Furaha
ya ushindi wa kuvuta kamba
Wadau
katika halmashauri ya Jiji la Arusha walioshiriki mazoezi ya viungo.
Furaha
ya ushindi wa kuvuta kamba
Mazoezi
ya wanafunzi yakiendelea na mwalimu











0 Comments