Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Kassim Majaliwa akisalimiana na Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia
Mhandisi Stella Manyanya wakati wa hafla ya chakula cha hisani kwa ajili ya
kuchangia Chama cha Skauti Tanzania ili wafanyikishe maadhimisho ya miaka 100
ya Skauti nchi hafla iliyofanyika jana Jijini Dar es Salaam.Katikati ni Waziri
wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Joyce Ndalichako na Naibu Waziri, Ofisi
ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana na Ajira Anthony Mavunde (kulia). Jumla ya
shilingi milioni 600 zinahitajika ambapo katika hafla hiyo jumla ya shilingi
milioni 265 zilipatikana ikiwa ni fedha taslimu na ahadi.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Kassim Majaliwa akihutubia wakati wa hafla ya Chakula cha hisani kwa ajili ya
kuchangia Chama cha Skauti Tanzania ili wafanyikishe maadhimisho ya miaka 100
ya Skauti pamoja na siku ya Skauti Afrika jana Jijini Dar es Salaam.Kutoka
kulia ni Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Joyce Ndalichako na
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhandisi Stella Manyanya. Jumla ya
shilingi milioni 600 zinahitajika ambapo katika hafla hiyo jumla ya shilingi
milioni 265 zilipatikana ikiwa ni fedha taslimu na ahadi.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim
Majaliwa akiteta jambo na Kamishna Mkuu wa Skauti Tanzania Abdulkarim Shaha pamoja na Mwakilishi wa Bodi ya Usajili
wa Makandarasi Tanzania (ERB) wakati wa hafla ya Chakula cha hisani kwa ajili
ya kuchangia Chama cha Skauti Tanzania ili Kifanyikishe maadhimisho ya miaka
100 ya Skauti pamoja na siku ya Skauti Afrika hafla hiyo imefanyika jana Jijini
Dar es Salaam. Jumla ya shilingi milioni 600 zinahitajika ambapo katika hafla
hiyo jumla ya shilingi milioni 265 zilipatikana ikiwa ni fedha taslimu na ahadi.
Baadhi ya wageni waalikwa katika hafla ya
Chakula cha Hisani kwa ajikli ya kuwezesha Skauti Tanzania kufanikisha
maadhimisho ya miaka 100 ya Skauti nchini na Siku ya Skauti Afrika wakifuatilia
matukio mbalimbali yaliyokuwa yakiendelea katika hafla hiyo jana Jijini Dar es
Salaam. Jumla ya shilingi milioni 600 zinahitajika ambapo katika hafla hiyo
jumla ya shilingi milioni 265 zilipatikana ikiwa ni fedha taslimu na ahadi.
Baadhi ya
wawakilishi kutoka Taasisi, na wadau mbalimbali wakitoa ahadi zao ili
kuiwezesha Skauti Tanzania kufanikisha maadhimisho ya miaka 100 ya uwepo wake
hapa nchini sambamba na Siku ya Skauti Afrika katika hafla ya Chakula cha
Hisani jana Jijini Dar es Salaam. Jumla ya shilingi milioni 600 zinahitajika
ambapo katika hafla hiyo jumla ya shilingi milioni 265 zilipatikana ikiwa ni
fedha taslimu na ahadi.
Msanii wa sanaa ya Uchoraji Masoud Kipanya
akichora picha ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wakati wa hafla ya Chakula cha
Hisani kwa lengo la kuchangia Skauti Tanzania ili wafanikishe maadhimisho ya
miaka 100 ya uwepo wake hapa nchini katika hafla iliyofanyika jana Jijini Dar
es Salaam. Jumla ya shilingi milioni 600 zinahitajika ambapo katika hafla hiyo
jumla ya shilingi milioni 265 zilipatikana ikiwa ni fedha taslimu na ahadi.
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa
Joyce Ndalichako akielezea sababu za kununua picha ya Waziri Mkuu Kassim
Majaliwa ambayo imechorwa na msanii Masoud Kipanya kama mchango wake kwa Chama
cha Skauti Tanzania iliwafanyikishe maadhimisho ya miaka 100 ya Skauti nchini
katika hafla ya Chakula cha Hisani jana Jijini Dar es Salaam. Jumla ya shilingi
milioni 600 zinahitajika ambapo katika hafla hiyo jumla ya shilingi milioni 265
zilipatikana ikiwa ni fedha taslimu na ahadi. Kulia ni Kamishna Mkuu wa Skauti
Tanzania Abdulkarim Shaha.
Msanii wa sana ya Uchoraji Masoud Kipanya
akielezea jambo baada ya picha aliyoichora ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa
kununuliwa jana Jijini Dar es Salaam. Msanii huyo alitoa asilimia yote ya mapato
kutokana na picha hiyo kwa ajili ya kuisaidia Skauti Tanzania.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na
Teknolojia Maimuna Tarishi akizungumza na Mwenyekiti wa Kamati ya Utendaji
Taifa ya Chama cha Skauti Tanzania Balozi Nicholaus Kuhanga wakati wa hafla ya
Chakula cha Hisani kwa lengo la kuchangia Skauti Tanzania ili wafanikishe
maadhimisho ya miaka 100 ya uwepo wake hapa nchini katika hafla iliyofanyika
jana Jijini Dar es Salaam. Jumla ya shilingi milioni 600 zinahitajika ambapo
katika hafla hiyo jumla ya shilingi milioni 265 zilipatikana ikiwa ni fedha
taslimu na ahadi.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Chama cha Skauti
Tanzania pamoja na Kamati ya Maandalizi ya hafla ya Chakula cha Hisani kwa
ajili ya kuchangia chama hicho ili kifanyikishe maadhimisho ya miaka 100 ya
Skauti nchi hafla iliyofanyika jana Jijini Dar es Salaam. Jumla ya shilingi
milioni 600 zinahitajika ambapo katika hafla hiyo jumla ya shilingi milioni 265
zilipatikana ikiwa ni fedha taslimu na ahadi.
Picha na Frank Shija – MAELEZO.












0 Comments