Waziri wa afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, wazee na watoto Ummy Mwalimu
akikata utepe kuzindua kituo na kiwanda cha kuongeza thamani mazao ya
nafaka cha Ititi kinachomilikiwa na vikundi vya akina mama VICOBA wa
wilaya ya Singida, kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Singida Dokta Rehema
Nchimbi na kushoto kwake ni Mkurugenzi Mkazi wa shirika la UN women
Tanzania Maria Karadenizli.
Waziri wa afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, wazee na watoto Ummy Mwalimu
akitazama jiwe la msingi la kiwanda na kituo cha kuongeza thamani mazao
ya nafaka cha Ititi kinachomilikiwa na vikundi vya akina mama VICOBA wa
wilaya ya Singida.
Waziri wa afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, wazee na watoto Ummy Mwalimu
akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Singida Dokta Rehema Nchimbi wakikagua hatua
za uongezaji wa thamani wa mazao ya nafaka kama mahindi, mtama na uwele
katika kiwanda kinachomilikiwa na kikundi cha akina mama VICOBA wa
Wilaya ya Singida.
Waziri wa afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, wazee na watoto Ummy Mwalimu
akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Singida Dokta Rehema Nchimbi wakikagua kiwanda
cha mafuta cha Mount Meru Millers kilichopo mjini Singida, kiwanda
hicho huzalisha mafuta ya alizeti ambayo ni mazuri kwa afya.
Waziri wa afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, wazee na watoto Ummy Mwalimu
akionyesha ndoo ambayo ni kifungashio cha mafuta ya alizeti
yanayozalishwa katika kiwanda cha mount Meru millers Mkoani Singida.
Akina mama wa Mkoa wa Singida wakipita mbele ya Waziri wa afya,
Maendeleo ya jamii, Jinsia, wazee na watoto Ummy Mwalimu na Mkuu wa Mkoa
wa Singida Dokta Rehema Nchimbi wakiandamana na kutoa ujumbe wa siku ya
wanawake duniani.
Akina mama wa Mkoa wa Singida wakipita mbele ya Waziri wa afya,
Maendeleo ya jamii, Jinsia, wazee na watoto Ummy Mwalimu na Mkuu wa Mkoa
wa Singida Dokta Rehema Nchimbi wakiandamana na kutoa ujumbe wa siku ya
wanawake duniani.
Mbunge wa Viti maalum CCM mkoa wa Singida Aisharose Matembe akiwa na
akina mama wa Mkoa wa Singida wakipita mbele ya Waziri wa afya,
Maendeleo ya jamii, Jinsia, wazee na watoto Ummy Mwalimu na Mkuu wa Mkoa
wa Singida Dokta Rehema Nchimbi wakiandamana na kutoa ujumbe wa siku ya
wanawake duniani.
Waziri wa afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, wazee na watoto Ummy Mwalimu
akionyesha ndoo ambayo ni kifungashio cha mafuta ya alizeti
yanayozalishwa katika kiwanda cha mount Meru millers Mkoani Singida.
Waziri wa afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, wazee na watoto Ummy Mwalimu
akikagua kitanda cha chumba cha upasuaji katika hospitali ya rufaa ya
Mkoa wa Singida katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani.
Waziri wa afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, wazee na watoto Ummy Mwalimu
akiwa na Mganga Mkuu wa Mkoa wa Singida Dokta John Mwombeki (kulia) na
mbunge wa viti maalumu CCM mkoa wa Singida Aisha rose Matembe (kushoto)
wakiwa nje ya jengo la utambuzi wa magonjwa la hospitali ya rufaa ya
Mkoa wa Singida.
Waziri wa afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, wazee na watoto Ummy Mwalimu
akiwa na Mganga Mkuu wa Mkoa wa Singida Dokta John Mwombeki (kulia) na
mbunge wa viti maalumu CCM mkoa wa Singida Aisha rose Matembe (kushoto)
wakiwa nje ya jengo la utambuzi wa magonjwa la hospitali ya rufaa ya
Mkoa wa Singida
Waziri wa afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, wazee na watoto Ummy Mwalimu
akipanda viazi katika eneo la kituo na kiwanda cha kuongeza thamani
mazao ya nafaka cha Ititi kinachomilikiwa na vikundi vya akina mama
VICOBA wa wilaya ya Singida, kulia kwake ni Mbunge wa viti maalumu CCM
Mkoa wa singida Aisha rose Matembe na kushoto kwake ni Mkurugenzi Mkazi
wa shirika la UN women Tanzania Maria Karadenizli wa kwanza kabisa
kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Singida Dokta Rehema Nchimbi .













0 Comments