
Mbunge wa Jimbo la Madaba Joseph Mhagama akichangia Shilingi milioni 7 kwa ajili ya kukamilisha mradi wa maji
..............................
Wakazi wa kata ya WINO halmashauri ya wilaya ya MADABA mkoani Ruvuma, wamechukua jukumu la kuchangishana fedha kwa ajili ya kukamilisha mradi wa maji unaogharimu kiasi cha shilingi million sabini ili kuondokana na kelo ya maji.
0 Comments