Random Posts

MHE. KAIRUKI AWATAKA WAHITIMU WA CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA NCHINI KUTUMIA FURSA ZINAZOTOKANA NA MWELEKEO WA SERIKALI YETU YA AWAMU YA TANO AMBAYO IMEDHAMIRIA KUJENGA UCHUMI WA VIWANDA KAMA NJIA YA KUTUWEZESHA KUFIKIA MALENGO YA DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO

 Mgeni Rasmi katika Mahafali ya 26 ya Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC), Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) akitoa hotuba kabla ya kuwatunuku   wahitimu wa Chuo cha Utumishi wa Umma kwenye mahafali yaliyofanyika katika Kampasi ya Tabora.
 Dkt. Henry Mambo, Mtendaji Mkuu na Mkuu wa Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania akitoa neno la utangulizi kumkaribisha Mgeni Rasmi katika Mahafali ya 26 ya Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC), Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) kutoa hotuba kabla ya kuwatunuku   wahitimu wa Chuo cha Utumishi wa Umma kwenye mahafali yaliyofanyika katika Kampasi ya Tabora.
Mgeni Rasmi katika Mahafali ya 26 ya Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC), Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) akijiandaa kuwatunuku   wahitimu wa Chuo cha Utumishi wa Umma kwenye mahafali yaliyofanyika katika Kampasi ya Tabora.

Post a Comment

0 Comments