Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
(kulia) alipokuwa akisalimiana na mgeni wake Mwenyekiti wa Kampuni ya "Engineering Consultants Groups"-ECG Bw.Amr Hassan Allouba alipofika
Ikulu Mjini Zanzibar leo na ujumbe wake
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
(kulia) alipokuwa akizungumza na mgeni wake Mwenyekiti wa Kampuni ya
"Engineering Consultants Groups"-ECG Bw.Amr Hassan Allouba
yaliyofanyika Ikulu Mjini Zanzibar leo
Rais
wa Zanzibar
na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
(kulia) alipokuwa akifuatana na Mwenyekiti wa Kampuni ya "Engineering
Consultants Groups"-ECG Bw.Amr Hassan Allouba (katikati) baada ya
mazungumzo yao yaliyofanyika Ikulu Mjini Zanzibar leo,(kushoto)
Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Nchini Misri Balozi Mohamed
Haji Hamza
Katibu Mkuu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu
Mkuu Kiongozi Dkt.Abdulyahaya Mzee (kushoto) alipokuwa akizungumza na
Waandishi wa habari wa Vyombo mbali mbali kuhusu Ripoti ya mkaguzi na
Mdhibiti
wa fedha za Serikali iliyozungumzia upotevu wa fedha katika Mawizara
mbali mbali ambazo zimekuwa zikilipwa kwa makosa,katika ukumbi wa Ofisi
ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Ikulu Mjini Zanzibar
leo,[Picha na Ikulu.]24/04/2017.




0 Comments