Random Posts

RAIS MAGUFULI NA RAIS MUSEVEN WA UGANDA WASAINI TAMKO LA PAMOJA LA UTEKELEZAJI WA UJENZI WA BOMBA LA MAFUTA HOIMA – TANGA

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli na Rais wa Uganda, Yoweri Museveni wakitia saini tamko la pamoja la kukamilika kwa majadiliano na vipengele vya mkataba wa utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta ghafi kutoka Hoima nchini Uganda hadi Tanga nchini Tanzania katika hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam mapema leo Mei 21, 2017. 
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli na Rais wa Uganda, Yoweri Museveni na wajumbe wao katika mazungumzo ya mwisho kabla ya kutia saini tamko la pamoja la kukamilika kwa majadiliano na vipengele vya mkataba wa utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta ghafi kutoka Hoima nchini Uganda hadi Tanga nchini Tanzania katika hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam mapema leo Mei 21, 2017
 Sehemu ya watendaji kutoka Wizara ya Nishati na Madini wakifurahia hotuba iliyokuwa inatolewa na  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli (hayupo pichani) katika hafla hiyo.
 Kutoka kulia, Katibu Mkuu Kiongozi John William Herbert Kijazi, Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt.  Philip Mpango, na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Dkt. Augustine Mahiga wakibadilishana mawazo kabla ya hafla ya utiaji saini tamko la pamoja na utekelezaji wa ujenzi wa bomba la mafuta ghafi la Afrika Mashariki kutoka Hoima, Uganda hadi katika Bandari ya Tanga, Tanzania iliyofanyika mapema Ikulu jijini Dar es Salaam mapema leo Mei 21, 2017.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli akielezea faida za mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta ghafi kutoka Hoima nchini Uganda hadi Tanga nchini Tanzania katika hafla hiyo.
 Rais wa Uganda,Yoweri Museveni akiongea baada ya yeye na Rais Dkt John Pombe Magufuli  wa Tanzania kukamilisha   zoezi la utiaji saini tamko la pamoja la kukamilika kwa majadiliano na vipengele vya mkataba wa utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta ghafi kutoka Hoima nchini Uganda hadi Tanga nchini Tanzania katika hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam mapema leo Mei 21, 2017
 Rais Dkt John Pombe Magufuli na Rais wa Uganda, Yoweri Museveni wakiwa na Mawaziri na  maafisa waandamizi wa pande zote mbili baada ya kukamilika zoezi la utiaji saini tamko la pamoja la kukamilika kwa majadiliano na vipengele vya mkataba wa utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta ghafi kutoka Hoima nchini Uganda hadi Tanga nchini Tanzania katika hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam mapema leo Mei 21, 2017.
Rais Dkt John Pombe Magufuli na Rais wa Uganda, Yoweri Museveni wakiwa na watendaji wa pande zote mbili baada ya kukamilika zoezi la utiaji saini tamko la pamoja la kukamilika kwa majadiliano na vipengele vya mkataba wa utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta ghafi kutoka Hoima nchini Uganda hadi Tanga nchini Tanzania katika hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam mapema leo Mei 21, 2017

Post a Comment

0 Comments