- Mkuu wa Mkoa wa Mbeya amefanya mkutano wa hadhara kata ya Ilemi kwa lengo la kusikiliza kero za wananchi
- Ameagiza mkuu wa idara ya ardhi na watendaji wake kupiga kambi kuanzia tr 2 August kwenda katika kata za Ilemi, ITEZI na Mwakibete kushughulikia migogoro ya ardhi na wampe taarifa tr 21 August
- Amefanya uamuzi huo Baada ya kutoridhishwa na kasi ya kutatua migogoro ya ardhi ambapo wananchi wanadai kutolipwa fidia, kiwanja kimoja kumilikishwa zaidi ya mtu mmoja





0 Comments