Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imekishauri
Chama cha Wananchi (CUF) kumalizamgogorounaoendelea ndani ya Chama hicho kwani
unawezakusababishakupotezanafasi za Udiwani katika Uchaguzi
Mdogounaotarajiwakufanyikawakatowowote kuanzia sasa.
Tahadhari hiyo imetolewaleo na Mkurugenzi wa
Uchaguzi wa Tume hiyo Bw. Kailima Ramadhani katika
mahojianomaalumOfisinikwakekuhusutuhumambalimbalizilizoelekezwa
Tume hiyo ikiwemosuala la Uteuzi wa Wabunge wa VitiMaalumkupitia CUF.
Bw. Kailima amesemamvutanounaoendelea ndani
ya Chama cha Wananchi (CUF) haunatija, hivyo ameshauripande mbili
zinazovutanakukutananakumalizatofauti zao kwani hali hiyo itawanyimanafasi ya
kutoa wagombea kwenye uchaguzihuomdogo.
‘Mimi niwashauri,CUF wanamgogoro wao wamalizemgogoro
wao.
Ni vizuriwakutanewamalizemgogoro wao kwani hii inawezakuwaleteamatatizowagombea
wakati wa Uchaguzi.’ alisesemaKailima na kusisitiza kuwa mgogoro ndani ya
chamahichohaunatija na badalayakeunakidhoofisha.
AmesemaSheria ya Taifa ya Uchaguzi, inakitakaChama
cha SiasakumsimamishaMgombeammoja kwa nafasi moja, lakinipiamgombea wa nafasi
ya Rais na Mbungelazimafomuyakeisainiwe na Viongozi wa ngazi ya Taifa wanaotambuliwa
na Msajili wa Vyama vya Siasa.
‘LakiniukisomaMaelekezo ya Vyama vya SiasanaWagombeayanasemaiwapochama
cha Siasakina mgogoroni lazimafomu zakezisainiwa na kiongozi wajuu wa ngazi ya Mkoa,
sasa kwa hali hii iwapo CUF wasipokutanawatapotezanafasi.’ Amesema Mkurugenzi
huyowa Tume ya Taifa ya Uchaguzi.
Bwana Kailimaamesema Tume ya Taifa ya
Uchaguzi inatambua taarifa za Vyama vya SiasailiyowasilishwanaMsajili wa Vyama
vya Siasa na kwa Chama cha CUF viongozi wanaotambuliwa na Tume hadi hivisasa ni
Mwenyekiti Prof. Ibrahim Lipumba na KatibuMkuu ni MaalimSeif Sharif Hamad.
‘Tumeinatambua kuwa Mwenyekiti wa CU ni
Prof. Ibrahim Lipumba, InatambuaKatibuMkuu wa CUF ni MaalimSeif Sharif Hamad na
NaibuKatibuMkuuupande wa Bara ni Magdalena Sakaya’ amesema.
Amesema TumehaijazuiliwanaMahakamawala na
Msajili wa Vyama vya Siasakwambaisifanyemawasiliano na Viongozi hawa, na
kubainisha kuwa Tume itaendelea kufanya mawasiliano na Viongozi
mpakahapoitakavyoelekezwavinginevyo na Msajili wa Vyama au Mahakama.
Mkurugenzi huyo wa Uchaguzi amesema Tume inafanya
kazi kwa mujibu wa Sheria, Kanuni na Taratibu na kwambamawasiliano ya Tume na
Chama cha Siasa ni kwa mujibu wa maelekezo ya Msajili wa Vyama vya
SiasaambayendiyeanayesajiliVyama vya Siasanchini.
Aidha katika hatua nyingine Bwana Kailima
ameelezwakusikitishwana taarifa za upotoshajizinazoihusisha Tume kwenye kikao
cha Wanasheria kwa lengo la kumshauriSpika wa Bunge kuhusu Chama cha Wananchi
CUF na kubainisha kuwa taarifa hizo hazinaukweliwowote.
Akielezea hatua zinazowezakuchukuliwana Tume
dhidi ya upotoshwajiunaofanywa na baadhi ya Wanasiasa na Vyombo vya Habari
kuhusuutendaji kazi wa Tume Kailima amesema Tume itatumiaMamlakazinazohusika na
usajiliingawahata hivyo amesisitiza kuwa ni vyema Vyama vya SiasavitumieWanasheria
wao kusomaSheria na taratibu za Uchaguzi ili kupata habari sahihi.
‘Hatua ya kwanza tunayochukua ni hii ya
kuelimishaChama pengine ni bahatimbayalakini hatua ya pili ni ya
kuzitaarifumamlakaKwa upande wa Vyama ni Msajili wa Vyama kwa upande wa Vyombo
vya Habari vya MagazetitunamtaarifuMsajili wa Magazeti ili ashughulikenao’lakinikubwatunawashaurijamanisomeni
au ulizeni Tume,’ amesema Kailima.

0 Comments