Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe akizungumza na
waandishi wa habari (hawapo katika picha) leo Jijini Dar es Salaam alipokuwa
akitoa neno la shukrani kwa wote walioshiriki katika kumfariji kipindi cha
msiba wa mke wake mpendwa Bi. Linah George Mwakyembe.




0 Comments