Ndg. Joktan
Mikombo (Muwezeshaji) akiwaelekeza washiriki wa Mafunzo ya Mfumo Mpya
wakuandaa Mipango na Bajeti za Serikali za Mitaa (PlanRep) namna ya kuingiza
taarifa kwenye mfumo,Jijini Mwanza,Leo tarehe 26 Julai 2017
Ngd. Salum
Dhamin,Mchumi wa Halmashauri ya Kongwa akiwaelekeza washiriki wa Mafunzo ya
Mfumo Mpya wakuandaa Mipango na Bajeti za Serikali za Mitaa (PlanRep) namna ya
kuingiza taarifa kwenye mfumo,Jijini Mwanza,Leo tarehe 26 Julai 2017
Washiriki
Wakiingiza taarifa wakati wa Mafunzo ya
kutumia Mfumo Mpya wakuandaa Mipango na Bajeti za Serikali za Mitaa (PlanRep)
Jijini Mwanza,Leo tarehe 26 Julai 2017



0 Comments