Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Mhe. Dkt. Charles
Tizeba akisalimiana na Katibu Msaidizi wa Bunge, Ndg. Bakari kishoma wakati
alipotembelea Banda la Bunge katika Maonyesho ya Nane nane yanayoendelea kwenye Viwanja vya Nzunguni, Mjini Dodoma.
Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Mhe. Dkt. Charles
Tizeba (katikati)akimsikiliza Afisa Habari
wa Bunge Ndg. Patson Sobha (kushoto) wakati alipotembelea Banda la Bunge katika
Maonyesho ya Nane nane yanayoendelea
kwenye Viwanja vya Nzunguni, Mjini Dodoma. Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya
Kongwa, Ndg. Deogratius Ndejembi.
Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Mhe. Dkt. Charles
Tizeba akiuliza swali baada kutembelea Banda la Bunge katika Maonyesho ya Nane
nane yanayoendelea kwenye Viwanja vya Nzunguni, Mjini Dodoma. Katikati ni Mkuu
wa Wilaya ya Kongwa, Ndg. Deogratius Ndejembi na kulia ni Afisa Habari wa Bunge
Ndg. Patson Sobha.
(PICHA
NA OFISI YA BUNGE)



0 Comments