Random Posts

Mkutano wa kwanza wa Kimataifa wa wadau wa usafiri wa anga wafanyika Jijini Dar.

 Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa akisisitiza jambo kwa washiriki wa mkutano wa kwanza wa Kimataifa wa wadau wa usafiri wa anga nchini mapema hii leo jijini Dar es Salaam.
 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA) Hamza Johari akifafanua jambo kwa washiriki wa Mkutano wa kwanza wa Kimataifa wa wadau wa usafiri wa anga mapema hii leo jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Leonard Chamuriho  akizungumza na washiriki wa Mkutano wa kwanza wa Kimataifa wa wadau wa usafiri wa anga mapema hii leo jijini Dar es Salaam.


Picha na Eliphace Marwa - Maelezo

Post a Comment

0 Comments