Mgeni
Rasmi Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na
Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa akisisitiza jambo kwa wadau wa miundombinu
ya reli na barabara (hawapo pichani) wakati wa kongamano la siku mbili la wadau
hao mapema hii leo jijini Dar es Salaam, kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa TPSF
Godfrey Simbeye.
Baadhi
ya wadau wa miundombinu ya reli na barabara wakimsikiliza Mgeni Rasmi Waziri wa
Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof.
Makame Mbarawa wakati uzinduzi wa kongamano la siku mbili la wadau hao la
kujadili fursa mbalimbali zilizopo katika sekta ya miundombinu nchini.
Mkurugenzi
Mtendaji wa TPSF Godfrey Simbeye akifafanua jambo kwa wadau wa miundombinu ya
reli na barabara (hawapo pichani) wakati wa kongamano la siku mbili la wadau
hao mapema hii leo jijini Dar es Salaam, kulia ni Mgeni Rasmi Waziri wa Ujenzi,
Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame
Mbarawa.
Picha na Eliphace Marwa - Maelezo



0 Comments