Random Posts

Serikali Yatoa Ufafanuzi dhidi ya Tamko la TUCTA Kuhusu Kauli ya Rais katika Mkutano wa ALAT

Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji Mkuu wa Serikali (katikati) Dkt. Hassan Abbassi akisisitiza jambo wakati akiongea na Waandishi wa Habari kuhusu mambo mbalimbali ya watumishi wa umma jijini Dar es Salaam leo. Kushoto ni ni Mkurugenzi Msaidizi (Usajili), Patrick Kipangula na Mkurugenzi Msaidizi (Habari na Picha), Rodney Thadeus.

(Picha na: Frank Shija – MAELEZO)

Post a Comment

0 Comments