Random Posts

Bondia Ibrahimu Class wa Tanzania na Bondia Koo’s Sebiya wa Afrika ya Kusini Wapima Uzito Tayari kwa Pambano

 Bondia Ibrahimu Class wa Tanzania akipima uzito kabla ya pambano la kimataifa la ngumi linalotarajiwa kufanyika kesho katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam dhidi ya bodia Koo’s Sebiya wa Afrika ya Kusini leo Jijini Dar es Salaam
 Bondia Koo’s Sebiya wa Afrika ya Kusini akipima uzito kabla ya pambano la kimataifa la ngumi linalotarajiwa kufanyika kesho katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam dhidi ya bodia Ibrahimu Class wa Tanzania leo Jijini Dar es Salaam
 Bondia Ibrahimu Class wa Tanzania (kulia) akionyeshana uwezo na bondia Koo’s Sebiya wa Afrika ya Kusini (kushoto) baada ya kupima uzito tayari kwa kushiriki katika pambano la kimataifa la ngumi litakalofanyika kesho katika uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam
 Bondia Ibrahimu Class wa Tanzania (kulia) akimkabidhi kitabu kinachoonyesha vivutio tulivyonavyo Tanzania bondia Koo’s Sebiya wa Afrika ya Kusini (kushoto) baada ya kupima uzito tayari kwa kushiriki katika pambano la kimataifa la ngumi litakalofanyika kesho katika uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam
 Mabondia Ibrahim Maukola (kushoto) na Ibrahim Tamba (kulia) wakionyesha uwezo wao baada ya kupima uzito kwa ajili ya kuonyesha pambano la ngumi kati yao kabla ya pambano la kimataifa kati ya Bondia Ibrahimu Class wa Tanzania na Bondia Koo’s Sebiya wa Afrika ya Kusini litakalofanyika kesho katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam
 Baadhi ya mabondia watakaopambana kabla ya pambano la ngumi la kimataifa kati ya Bondia Ibrahimu Class wa Tanzania na Bondia Koo’s Sebiya wa Afrika ya Kusini litakalofanyika kesho katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam
Picha na: Genofeva Matemu – WHUSM
Mkurugenzi Idara ya Michezo Bw. Yusuph Singo (kulia) akizungumza wakati wa kuwapima uzita mabodia Ibrahimu Class wa Tanzania na Koo’s Sebiya wa Afrika ya Kusini wanaotarajia kupambana kesho katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam

Post a Comment

0 Comments