Bondia Ibrahimu Class wa Tanzania akipima uzito kabla ya pambano
la kimataifa la ngumi linalotarajiwa kufanyika kesho katika Uwanja wa
Uhuru Jijini Dar es Salaam dhidi ya bodia Koo’s Sebiya wa Afrika ya
Kusini leo Jijini Dar es Salaam
Bondia Koo’s Sebiya wa Afrika ya Kusini akipima uzito kabla ya
pambano la kimataifa la ngumi linalotarajiwa kufanyika kesho katika
Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam dhidi ya bodia Ibrahimu Class wa
Tanzania leo Jijini Dar es Salaam
Bondia Ibrahimu Class wa Tanzania (kulia) akionyeshana uwezo na
bondia Koo’s Sebiya wa Afrika ya Kusini (kushoto) baada ya kupima uzito
tayari kwa kushiriki katika pambano la kimataifa la ngumi
litakalofanyika kesho katika uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam
Bondia Ibrahimu Class wa Tanzania (kulia) akimkabidhi kitabu
kinachoonyesha vivutio tulivyonavyo Tanzania bondia Koo’s Sebiya wa
Afrika ya Kusini (kushoto) baada ya kupima uzito tayari kwa kushiriki
katika pambano la kimataifa la ngumi litakalofanyika kesho katika uwanja
wa Uhuru Jijini Dar es Salaam
Mabondia Ibrahim Maukola (kushoto) na Ibrahim Tamba (kulia)
wakionyesha uwezo wao baada ya kupima uzito kwa ajili ya kuonyesha
pambano la ngumi kati yao kabla ya pambano la kimataifa kati ya Bondia
Ibrahimu Class wa Tanzania na Bondia Koo’s Sebiya wa Afrika ya Kusini
litakalofanyika kesho katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam
Baadhi ya mabondia watakaopambana
kabla ya pambano la ngumi la kimataifa kati ya Bondia Ibrahimu Class wa
Tanzania na Bondia Koo’s Sebiya wa Afrika ya Kusini litakalofanyika
kesho katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam
Picha na: Genofeva Matemu – WHUSM
Mkurugenzi Idara ya Michezo Bw. Yusuph Singo (kulia) akizungumza
wakati wa kuwapima uzita mabodia Ibrahimu Class wa Tanzania na Koo’s
Sebiya wa Afrika ya Kusini wanaotarajia kupambana kesho katika Uwanja wa
Uhuru Jijini Dar es Salaam







0 Comments