Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Balozi wa Ufaransa nchini
Mhe. Frédéric CLAVIER aliyemtembelea Makamu wa Rais ofisini kwake ,Ikulu jijini Dar es Salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Balozi wa Ufaransa nchini
Mhe. Frédéric CLAVIER ofisini kwa Makamu wa Rais Ikulu jijini Dar es Salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu
Hassan akisalimia na Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Chakula Duniani(WFP)
hapa nchini Bw. Michael Dunford ambaye alifika ofisni kwa Makamu wa
Rais, Ikulu jijini Dar es Salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu
Hassan akizungumza na Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Chakula Duniani(WFP)
hapa nchini Bw. Michael Dunford
ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam.
(Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)




0 Comments