Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizindua jarida la Mkakati wa kuzuia Rushwana Uhujumu wa Uchumi Zanzibar katika Kongamano la Kitaifa la Utawala Bora na Uchumi Zanzibar lililofanyika leo katika Ukumbi wa zamani wa Baraza la Wawakilishi Kikwajuni Mjini Unguja,
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akionesha jarida la Mkakati wa kuzuia Rushwa na Uhujumu wa Uchumi Zanzibar baada ya kulizindua rasmi jarida hilo katika Kongamano la Kitaifa la Utawala Bora na Uchumi Zanzibar lililofanyika leo katika Ukumbi wa zamani wa Baraza la Wawakilishi Kikwajuni Mjini Unguja
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akifungua Kongamano la Kitaifa la Utawala Bora na Uchumi Zanzibar lililofanyika leo katika Ukumbi wa zamani wa Baraza la Wawakilishi Kikwajuni Mjini Unguja
Viongozi wa Idara mbali mbali katika Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar wakiwa katika Kongamano la Kitaifa la Utawala Bora na Uchumi Zanzibar lililofanyika leo katika Ukumbi wa zamani wa Baraza la Wawakilishi Kikwajuni Mjini Unguja,Mwenyekiti wake akiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani)
Baadhi ya Mawaziri wa Wizara mbali mbali za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Viongozi wengine wakiwa katika Kongamano la Kitaifa la Utawala Bora na Uchumi Zanzibar lililofanyika leo katika Ukumbi wa zamani wa Baraza la Wawakilishi Kikwajuni Mjini Unguja,Mwenyekiti wake akiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani).
Makatibu katika Wizara mbali mbali za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar wakiwa katika Kongamano la Kitaifa la Utawala Bora na Uchumi Zanzibar lililofanyika leo katika Ukumbi wa zamani wa Baraza la Wawakilishi Kikwajuni Mjini Unguja,Mwenyekiti wake akiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani).
Baadhi ya Mawaziri wa Wizara mbali mbali za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar wakiwa katika Kongamano la Kitaifa la Utawala Bora na Uchumi Zanzibar lililofanyika leo katika Ukumbi wa zamani wa Baraza la Wawakilishi Kikwajuni Mjini Unguja,Mwenyekiti wake akiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani)







0 Comments