Mkutano wa 26 wa Mwaka wa Wanahisa wa Benki TPB Wafanyika Jijini Dar es Salaam - MTAZAMO MEDIA

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Friday, 8 June 2018

Mkutano wa 26 wa Mwaka wa Wanahisa wa Benki TPB Wafanyika Jijini Dar es Salaam

 Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya TPB, Bw. Sabasaba Moshingi (kushoto) akifafanua jambo mbele ya waandishi wa habari katika mkutano wa 26 wa mwaka wa wanahisa jijini Dar es Salaam Juni 7, 2018
 Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya TPB, Dkt. Edmund Mndolwa akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) Dar es Salaam Juni 8, 2018  wakati wa Mkutano wa 26 wa Mwaka wa Wanahisa wa benki hiyo. Kushoto ni Afisa Mtendaji Mkuu wa benki hiyo Bw. Sabasaba Moshingi.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages