Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akifungua Mkutano wa 20 wa Taasisi za Kifedha Nchini wenye lengo la kupitia na kutatua changamoto mbalimbali katika sekta hiyo. Mkutano huo umefunguliwa tarehe 25 Novemba, 2021 katika ukumbi wa mikutano wa Jakaya Kikwete, Jijini Dodoma.
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Thursday, 25 November 2021
Home
HABARI
RAIS MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AFUNGUA MKUTANO WA 20 WA TAASISI ZA KIFEDHA NCHINI JIJINI DODOMA.
RAIS MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AFUNGUA MKUTANO WA 20 WA TAASISI ZA KIFEDHA NCHINI JIJINI DODOMA.
Tags
# HABARI
Share This
About Mtazamomedia blog
HABARI
Tags:
HABARI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Bottom Ad
Responsive Ads Here
No comments:
Post a Comment