Tuesday 24 October 2023

Rais Samia Suluhu Hassan Ahutubia katika Sherehe za Miaka 59 ya Uhuru wa Zambia Jijini Lusaka

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia Viongozi mbalimbali pamoja na Wananchi katika Sherehe za Miaka 59 ya Uhuru wa Zambia zilizofanyika kwenye Viwanja vya Ikulu ya Lusaka Nchini Zambia 24 Oktoba, 2023.
Viongozi mbalimbali wakicheza muziki katika Sherehe za Miaka 59 ya Uhuru wa Zambia zilizofanyika katika Viwanja vya Ikulu ya Lusaka Nchini Zambia tarehe 24 Oktoba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akigonganisha Glass na mwenyeji wake Rais wa Zambia Mhe. Hakainde Hichilema kwenye Sherehe za Miaka 59 ya Uhuru wa Zambia zilizofanyika katika Viwanja vya Ikulu ya Lusaka Nchini Zambia tarehe 24 Oktoba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na mwenyeji wake Rais wa Zambia Mhe. Hakainde Hichilema wakati wakikata Keki kwenye Sherehe za Miaka 59 ya Uhuru wa Zambia zilizofanyika katika Viwanja vya Ikulu ya Lusaka Nchini Zambia tarehe 24 Oktoba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akikata Keki kwenye Sherehe za Miaka 59 ya Uhuru wa Zambia zilizofanyika katika Viwanja vya Ikulu ya Lusaka Nchini Zambia tarehe 24 Oktoba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimsikiliza mwenyeji wake Rais wa Zambia Mhe. Hakainde Hichilema wakati akimuonesha kitukabla ya kukata Keki kwenye Sherehe za Miaka 59 ya Uhuru wa Zambia zilizofanyika katika Viwanja vya Ikulu ya Lusaka Nchini Zambia tarehe 24 Oktoba, 2023.

No comments:

Post a Comment