Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akizungumza wakati akifungua Mkutano wa Majadiliano ya Ngazi ya Juu kati ya Serikali na Washirika wa Maendeleo, uliofanyika katika ukumbi wa Kambarage-Treasury Square, jijini Dodoma, ukiwahusisha baadhi ya Mawaziri wa Kisekta kutoka Tanzania Bara na Tanzania Visiwani, pamoja na Wanadiplomasia na Washirika wa maendeleo wanaoziwakilisha nchi zao hapa nchini, ambapo pamoja na mambo mengine alitoa rai kwa wadau wote kushirikiana kwa karibu na Serikali ili kufanikisha utekelezaji wa Mwongozo wa Ushirikiano wa Maendeleo (DCF) ambao umetilia mkazo utaratibu wa ufadhili wa miradi ya mabadiliko ya tabianchi (climate financing modality) na kuimarisha Ushirikiano kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP) kama njia mbadala za ufadhili.



0 Comments