Random Posts

HALI BADO TETE IRAQI-MAREKANI YAANZA KUTOA SILAHA KWA WAKURDI NA YAZIDI-AMBAO WAMEKWAMA MLIMANI.



Wanaume,Wanawake,Watoto,Mifugo (pichani)wakiwakimbia wapiganaji wanaojiita taifa la kiislam_Islamic State,Wakati huohuo Marekani imeanza kuwapa silaha wapiganaji wa Kurdish nakutoa mafunzo ya kijeshi kwa wenyeji  Yazid ambao wamekwama vileleni mwa mlima sinjar nae Rais wa Iraqi amemteua Waziri mkuu kuziba nafasi ya Nour al-Malik nakumuagiza kuunda baraza litakalokomesha umwagaji damu ,haijalishi kama Malik ataegemea upande wa Tehlan au Washigton.