Random Posts

IRAQ YAPATA WAZIRI MKUU MPYA MR ABDI


                                          IMEANDALIWA NA,BERNARD JAMES


IRAQI_Rais Fuad Masum amefanya uteuzi wa Mr Abdi kuwa Waziri  Mkuu mpya akiziba nafasi ya Malik .Baada ya kuteuliwa ameagizwa  kuunda baraza la Mawazri ,haraka iwezekanavyo ilikukabiliana na,wapigaji wa ISIS-Islamic State amabao wamepania kuiagusha Serikali na kuunda Taifa la Kiislam,litakalo ongozwa kwa sheria.
Mr Abdi anatoka katika dhehebu la Shia na chama chake kilipata  viti vingi vya ubunge ,katika uchaguzi uliopita,Katika hotuba yake kupitia TV ya Taifa Rais Masum ameelezea matumaini yake kwa Mr Abdi,anatumaini baraza atakalo liunda litawalinda wa Irag
Iraq sasa iko mikononi mwa Mr Abdi,Rais alilieleza France News Agency AFP-Kufuatia kuteuliwa kwake Waziri mkuu ametoa rai kwa waIraq wote kuungana nakuwa ,kitu kimoja dhidi ya wapigaji wa Isis
.Uteuzi wa Mr Abdi umepokelew kwa mikono miwili na mataifa mbalimbali Duniani, Marais wa Ufaransa na Uturuki,wamemtaka Waziri Mkuu Abdi kuteua baraza la umoja wa kitaifa kwa manufaa ya waIraqi wote.
ABDI NI NANI?
Haider al Abdi amezaliwa 1952 katika jiji la Bagdad na ni msomi mwnye PHD ya Umeme,ni Engineer-amesoma chuo cha UK University Manchester.
Ameishi  uhamishoni London uingereza wakati wa utawala wa Saddam Husein,Arirudi Iraq baada ya Saddam kuondolewa madarakani
Ameshika nafasi mbalimbali za uongozi ,ikwemo Waziri wa Mawasilano pia amekuwa katika kamti za fedha na uchumi.
Wakati huo Marekani imeanza kutoa misaada kwa wapiganaji wa Kikurdish,Peshmerga kwa kusambaza Silaha kwa ajili yakukabiliana na Isis,pia imeanza kutoa mafunzo ya kijeshi kwa jamii ya  Yazidi ambao ni wakristo walio wachache na ambao wameasilika sana na vita vinavyoendelea,kitu kilichopelekea kukimbilia katika milima ya Sanjar,Serikali ya Iraqi nayo ikobega kwa bega na wapinaji wa Kikurd na imepeleka ndege mbili zilizo jaza siraha kwa ajili yakukabiliana nawapiganaji wa Isis,hii ninafasi nzuli kwa wakurdish kujijenga kijeshi maana wamekuwa katika hali ya kunyanyaswa tangu utawala wa Saddam,
Kwahiyo hii misaada ya siraha wanazopewa kwa ajili ya kukabilana na wapinaji wa Isis  itawafanya kujijenga kiuwezo