Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe
Magufuli akiongozana na Waziri wa Ardhi Mhe John Lukuvi, Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Paul makonda,
Mkuu wa wilaya ya Kinondoni Mhe Ali Hapi na viongozi wengine akitembelea eneo
lililokuwa Magomeni Kota jijini Dar es salaam leo Septemba 6, 2016
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akipeana mikono na
mwenyekiti wa waliokuwa wakaazi wa
nyumba za Magomeni Kota Bw.
George Abdi wakati alipotembelea na kuongea na wakaazi hao wa Magomeni Kota jijini Dar es salaam leo
Septemba 6, 2016 

Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt
John Pombe Magufuli akihutubia alipotembelea
na kuongea na wakaazi wa Magomeni Kota
wilaya ya Kinondoni jijini Dar es salaam
leo Septemba 6, 2016
Wananchi wakimshangilia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt
John Pombe Magufuli akipeana mikono na mwenyekiti wa waliokuwa wakaazi wa
nyumba za Magomeni Kota Bw.
George Abdi wakati alipotembelea na kuongea na wakaazi hao wa Magomeni Kota jijini Dar es salaam leo
Septemba 6, 2016
Kiongozi wa wakaazi wa
nyumba za Magomeni Kota Bi Mwajuma Sama akiongea machache na kuomba dua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt
John Pombe Magufuli alipotembelea na
kuongea na wakaazi hao wa Magomeni Kota
jijini Dar es salaam leo Septemba 6, 2016
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe
Magufuli akimfariji Bi. Mwajuma
Sama kwa taabu walizopata yeye kiongozi na wakaazi wenzie wa Magomeni Kota jijini Dar es salaam leo
Septemba 6, 2016
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe
Magufuli akisindikizwa na Meya wa
Kinondoni Mstahiki Boniface Jacob alipotembelea
na kuongea na wakaazi wa iliyokuwa Magomeni Kota jijini Dar es salaam leo
Septemba 6, 2016
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe
Magufuli akimshukuru wakili Twaha Taslima
wa Law Chambers kwa kusimamia vyema maswala ya mgogoro wa eneo iliyokuwa Magomeni Kota jijini Dar es salaam leo
Septemba 6, 2016
PICHA NA IKULU










0 Comments