Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein (katikati) akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Ujenzi,Mawasiliano na Usafirishaji kuhusu utekelezaji wa Programu ya Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi CCM katika
kipindi cha mwaka 2015-2020,mazungumzo hayo yamefanyika leo katika ukumbi wa Ikulu
Mjini Unguja,
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein (kulia) akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Ujenzi,Mawasiliano na Usafirishaji kuhusu utekelezaji wa Programu ya Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi CCM katika
kipindi cha mwaka 2015-2020,mazungumzo hayo yamefanyika leo katika ukumbi wa Ikulu
Mjini Unguja
Baadhi ya Uongozi wa Wizara ya Ujenzi,Mawasiliano na Usafirishaji wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein (hayupo pichani) alipokuwa akizungumza nao katika Mkutano wa siku moja kuhusu Programu ya Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi CCM katika
kipindi cha mwaka 2015-2020,katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja leo
Baadhi ya Uongozi wa Wizara ya Ujenzi,Mawasiliano na Usafirishaji wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein (hayupo pichani) alipokuwa akizungumza nao katika Mkutano wa siku moja kuhusu Programu ya Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi CCM katika
kipindi cha mwaka 2015-2020,katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja leo.
[Picha na Ikulu.] 07/09/2016.




0 Comments