Uongozi wa Wizara ya Kazi,Uwezeshaji,Wazee,Vijana, Wanawake na Watoto ukimkaribisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein (katikati) mara alipoingia katika ukumbi wa Ikulu
Mjini Unguja leo katika mkutano kuhusu Programu ya utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi CCM katika
kipindi cha mwaka 2015-2020
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Kazi,Uwezeshaji,Wazee,Vijana, Wanawake na Watoto kuhusu Programu ya
utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi CCM katika
kipindi cha mwaka 2015-2020,mazungumzo hayo yamefanyika leo katika ukumbi wa Ikulu
Mjini Unguja,
Baadhi ya Viongozi wa Wizara ya Kazi,Uwezeshaji,Wazee,Vijana, Wanawake na Watoto wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein alipokuwa akizungumza na Uongozi wa Wizara hiyo kuhusu mpango wa
utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi CCM katika
kipindi cha mwaka 2015-2020,mazungumzo hayo yamefanyika leo katika
ukumbi wa Ikulu Mjini
Unguja
Wasaidi wa Rais wakifuatilia kwa makini michango mbali mbali iliyotolewa katika mkutano wa siku moja wa Wizara ya Kazi,Uwezeshaji,Wazee,Vijana, Wanawake
na Watoto,ulizungumzia Programu ya utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya
Chama cha Mapinduzi ya mwaka 2015-20120,uliofanyika leo Ikulu Mjini
unguja chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein(hayupo pichani)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein akitoa maelekezo kwa Uongozi wa Wizara ya Wizara ya Kazi,Uwezeshaji,Wazee,Vijana, Wanawake na Watoto, (haupo pichani ) kuhusu
utekelezaji wa Programu ya Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi CCM katika
kipindi cha mwaka 2015-2020,leo wakati wa mkutano wa siku moja uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja,
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Kazi,Uwezeshaji,Wazee,Vijana, Wanawake na Watoto kuhusu Programu ya
utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi CCM katika
kipindi cha mwaka 2015-2020,mazungumzo hayo yamefanyika leo katika ukumbi wa Ikulu
Mjini Unguja,
Katibu Mkuu wa Wizara ya Kazi,Uwezeshaji,Wazee,Vijana, Wanawake na Watoto,Bi.Fatma Gharibu Bilali akisoma
baadhi
ya vifungu wakati wa mkutano wa siku moja wa Wizara hiyo uliozungumzia
utekelezaji wa Programu ya Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi CCM
katika
kipindi cha mwaka 2015-2020,chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein,katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja uliofanyika leo,(kulia) Naibu
Katibu Mkuu Bi.Mauwa Makame Rajab na Mshauri wa Rais Uchumi Mzee
Abrahman Mwinyi Jumbe,(kushoto)
Mkurugenzi wa Ajira katika Wizara ya Kazi,Uwezeshaji,Wazee,Vijana, Wanawake na Watoto Nd,Ameir Ali Ameir alipokuwa akitoa ufafanuzi kuhusu Programu ya
utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi CCM katika
kipindi cha mwaka 2015-2020,katika mkutano wa siku moja uliofanyika ikulu Mjini Unguja chini ya Mwenyekiti Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein,(kushoto) Bi,Fatma Iddi Kamishna wa Kazi,
[Picha na Ikulu.] 07/09/2016.








0 Comments