Random Posts

Bariadi Wampa Heshima Makamu wa Rais Barabara Yapewa Jina la Samia

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe. Anthony Mtaka pamoja na Watoto wa Mji wa Bariadi mara baada ya hafla fupi ya Barabara kupewa jina la Samia Suluhu Avenue. 
(Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akishuhudia barabara iliyopewa jina lake Bariadi mjini ikiwa siku ya kwanza ya ziara yake mkoani Simiyu. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia wananchi waliojitokeza kwenye viwanja vya saba saba Bariadi mjini ikiwa ni siku ya kwanza ya ziara yake mkoani Simiyu.
 Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe. Anthony Mtaka akihutubia wananchi waliojitokeza kwenye viwanja vya saba saba Bariadi mjini ikiwa ni siku ya kwanza ya ziara yake mkoani Simiyu.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akifurahia jambo wakati  Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe. Anthony Mtaka alipokuwa akihutubia wananchi waliojitokeza kwenye viwanja vya saba saba Bariadi mjini ikiwa ni siku ya kwanza ya ziara yake mkoani Simiyu.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasalimia wananchi waliojitokeza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Viwanja vya Sabasaba Bariadi mjini ikiwa siku yake ya kwanza ya ziara yake mkoani Simiyu.

Post a Comment

0 Comments