Katibu
Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Kanali Mstaafu Abdurahman Kinana akisaini
kitabu cha maombolezo kwenyeOfisi za Ubalozi wa Afrika Kusini kufuatia
kifo cha Mwanaharakati na mke wa zamani wa Rais wa kwanza Mwafrika wa
Afrika Kusini(Hayati Nelson Mandela), Bi.Winnie Madikizela Mandela Jijini Dar es Salaam leo.
Mwenyekiti
wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Dkt Gaudensia Kabaka (MCC) akisaini
kitabu cha maombolezo kwenyeOfisi za Ubalozi wa Afrika Kusini
kufuatia kifo cha Mwanaharakati na mke wa zamani wa Rais wa kwanza
Mwafrika wa Afrika Kusini(Hayati Nelson Mandela), Bi.Winnie Madikizela Mandela Jijini Dar es Salaam leo.
Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Kanali Mstaafu Ngemela Lubinga akisaini kitabu cha maombolezo kwenye Ofisi za Ubalozi wa Afrika Kusini kufuatia kifo cha Mwanaharakati na mke wa zamani wa Rais wa kwanza Mwafrika wa Afrika Kusini(Hayati Nelson Mandela), Bi.Winnie Madikizela Mandela Jijini Dar es Salaam leo.
0 Comments