Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akifurahia jambo na Mbunge wa kuleuliwa, Salma
Kikwete, Bungeni Mjini Dodoma Aprili 9, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Suleiman
Jaffo, akizungumza na Waziri wa Madini, Angela Kairuki, Bungeni Mjini Dodoma
Aprili 9, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tamisemi,
Joseph Kakunda, Bungeni Mjini Dodoma Aprili 9, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri
Mkuu)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo
ya Makazi William Lukuvi, Bungeni Mjini Dodoma Aprili 9, 2018. (Picha na Ofisi
ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri
Mkuu, Sera, Bunge, Kazi,Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama,
Bungeni Mjini Dodoma Aprili 9, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa na Mbunge wa kuteuliwa, Salma Kikwete, kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Aprili 9, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Viti Maalum, Sophia Mwakagenda, kwenye jengo la Utawala la Bunge Mjini Dodoma Aprili 10, 2018, katikati ni Mbunge wa jimbo la Tarime Bw. John Heche. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa Tarime Bw. John Heche, kwenye jengo la Utawala la Bunge Mjini Dodoma
Aprili 9, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
0 Comments